Proverbs 24:17-18


17 aUsitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo;
wakati ajikwaapo,
usiruhusu moyo wako ushangilie.

18 b Bwana asije akaona na kuchukia
akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.

Copyright information for SwhKC